16 Msimsikilize Hezekia, kwa maana mfalme wa Ashuru amesema hivi: “Salimuni amri kwangu,+ mtoke nje mje kwangu, mle kila mtu kutokana na mzabibu wake mwenyewe na kila mtu kutokana na mtini+ wake mwenyewe na mnywe kila mtu maji ya tangi lake mwenyewe,+