1 Wafalme 4:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Yuda na Israeli walikuwa wengi, kama chembe za mchanga ulio kando ya bahari kwa wingi,+ wakila na kunywa na kushangilia.+ Mika 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nao wataketi, kila mtu chini ya mzabibu wake na chini ya mtini wake,+ wala hakutakuwa na mtu yeyote anayewatetemesha;+ kwa maana kinywa cha Yehova wa majeshi kimesema hivyo.+ Zekaria 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “ ‘Katika siku hiyo,’ asema Yehova wa majeshi, ‘Mtaitana mtu na mwenzake, mkiwa chini ya mzabibu na mkiwa chini ya mtini.’ ”+
20 Yuda na Israeli walikuwa wengi, kama chembe za mchanga ulio kando ya bahari kwa wingi,+ wakila na kunywa na kushangilia.+
4 Nao wataketi, kila mtu chini ya mzabibu wake na chini ya mtini wake,+ wala hakutakuwa na mtu yeyote anayewatetemesha;+ kwa maana kinywa cha Yehova wa majeshi kimesema hivyo.+
10 “ ‘Katika siku hiyo,’ asema Yehova wa majeshi, ‘Mtaitana mtu na mwenzake, mkiwa chini ya mzabibu na mkiwa chini ya mtini.’ ”+