Isaya 38:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 ‘Ee Yehova, kwa sababu hiyo wanaendelea kuishi; na kama ilivyo kwa kila mtu, ndivyo na uhai wa roho yangu.+Nawe utanirudishia afya na hakika kunihifadhi hai.+
16 ‘Ee Yehova, kwa sababu hiyo wanaendelea kuishi; na kama ilivyo kwa kila mtu, ndivyo na uhai wa roho yangu.+Nawe utanirudishia afya na hakika kunihifadhi hai.+