Ayubu 33:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Yeye ameikomboa nafsi yangu isiingie shimoni,+Na uzima wangu wenyewe utaona nuru.’ Zaburi 71:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa sababu umenifanya nione taabu nyingi na misiba,+Unifufue tena;+Na unipandishe tena kutoka katika vilindi vya maji vya dunia.+
20 Kwa sababu umenifanya nione taabu nyingi na misiba,+Unifufue tena;+Na unipandishe tena kutoka katika vilindi vya maji vya dunia.+