2 Samweli 12:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yehova amesema hivi, ‘Tazama, ninaleta msiba juu yako kutoka katika nyumba yako mwenyewe;+ nami nitawachukua wake zako chini ya macho yako mwenyewe na kumpa mwanamume mwenzako,+ naye atalala na wake zako chini ya macho ya jua hili.+ Zaburi 60:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Umewafanya watu wako waone magumu.+Umetufanya tunywe divai ikatufanya tuyumbe-yumbe.+ Zaburi 66:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Umemfanya mwanadamu anayeweza kufa apande juu ya kichwa chetu;+Tumepita katikati ya moto na katikati ya maji,+Nawe ukatuleta kwenye kitulizo.+ Zaburi 88:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Umeniweka katika shimo lililo katika vina vya chini kabisa,Katika mahali penye giza, katika abiso kubwa.+
11 Yehova amesema hivi, ‘Tazama, ninaleta msiba juu yako kutoka katika nyumba yako mwenyewe;+ nami nitawachukua wake zako chini ya macho yako mwenyewe na kumpa mwanamume mwenzako,+ naye atalala na wake zako chini ya macho ya jua hili.+
12 Umemfanya mwanadamu anayeweza kufa apande juu ya kichwa chetu;+Tumepita katikati ya moto na katikati ya maji,+Nawe ukatuleta kwenye kitulizo.+
6 Umeniweka katika shimo lililo katika vina vya chini kabisa,Katika mahali penye giza, katika abiso kubwa.+