17 “Amka, amka, simama, Ee Yerusalemu,+ wewe ambaye umekunywa mkononi mwa Yehova kikombe chake cha ghadhabu.+ Bilauri, kikombe kinachosababisha kuyumba-yumba, umekunywa, umemaliza.+
15 Kwa maana Yehova Mungu wa Israeli ameniambia hivi: “Chukua kikombe hiki cha divai ya ghadhabu kutoka mkononi mwangu, nawe ukinyweshe+ mataifa yote ambayo ninakutuma kwao.
16 Utashibishwa kwa aibu badala ya utukufu.+ Kunywa pia, wewe mwenyewe,+ ukaonwe kuwa mtu ambaye hajatahiriwa.+ Kikombe cha mkono wa kuume wa Yehova kitakufikia,+ na kutakuwako fedheha juu ya utukufu wako;