Isaya 57:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Ulimhofu na kuanza kumwogopa nani,+ hivi kwamba ukaanza kusema uwongo?+ Lakini wewe hukunikumbuka mimi.+ Hukuweka moyoni mwako jambo lolote.+ Je, mimi sikuwa nikinyamaza kimya na kuficha mambo?+ Kwa hiyo hukuniogopa mimi.+ Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 57:11 ip-2 269 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 57:11 Unabii wa Isaya II, uku. 269
11 “Ulimhofu na kuanza kumwogopa nani,+ hivi kwamba ukaanza kusema uwongo?+ Lakini wewe hukunikumbuka mimi.+ Hukuweka moyoni mwako jambo lolote.+ Je, mimi sikuwa nikinyamaza kimya na kuficha mambo?+ Kwa hiyo hukuniogopa mimi.+