Isaya 59:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kumekuwa na ukosaji na kumkana Yehova;+ na kulikuwako kurudi nyuma kutoka kwa Mungu wetu, kusema ukandamizaji na maasi,+ kutunga na kunong’ona maneno ya uwongo kutoka moyoni.+ Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 59:13 ip-2 295 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 59:13 Unabii wa Isaya II, uku. 295
13 Kumekuwa na ukosaji na kumkana Yehova;+ na kulikuwako kurudi nyuma kutoka kwa Mungu wetu, kusema ukandamizaji na maasi,+ kutunga na kunong’ona maneno ya uwongo kutoka moyoni.+