Yeremia 5:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kama tundu lilivyojaa viumbe vinavyoruka, ndivyo nyumba zao zilivyojaa udanganyifu.+ Ndiyo sababu wamekuwa wakuu nao wanapata utajiri.+
27 Kama tundu lilivyojaa viumbe vinavyoruka, ndivyo nyumba zao zilivyojaa udanganyifu.+ Ndiyo sababu wamekuwa wakuu nao wanapata utajiri.+