Hosea 12:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mfanya-biashara ana mizani ya udanganyifu mkononi mwake;+ amependa kupunja.+ Amosi 8:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 mkisema, ‘Mwezi mpya utapita wakati gani,+ tukauze nafaka?+ Pia sabato,+ tukauze nafaka; ili kuifanya efa kuwa ndogo+ na kuifanya shekeli kuwa kubwa na kuipotosha mizani ya udanganyifu;+ Mika 6:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Je, naweza kuwa safi kiadili nikiwa na mizani ya uovu pamoja na mfuko wa mawe ya mizani ya udanganyifu?+
5 mkisema, ‘Mwezi mpya utapita wakati gani,+ tukauze nafaka?+ Pia sabato,+ tukauze nafaka; ili kuifanya efa kuwa ndogo+ na kuifanya shekeli kuwa kubwa na kuipotosha mizani ya udanganyifu;+
11 Je, naweza kuwa safi kiadili nikiwa na mizani ya uovu pamoja na mfuko wa mawe ya mizani ya udanganyifu?+