Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 19:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 “‘Msikose kufanya haki katika kuhukumu,+ katika kupima, katika kupima uzito+ au katika kupima vitu vya majimaji.

  • Methali 11:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Mizani ya udanganyifu ni chukizo kwa Yehova,+ lakini jiwe kamili la mizani ni furaha kwake.

  • Amosi 8:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 mkisema, ‘Mwezi mpya utapita wakati gani,+ tukauze nafaka?+ Pia sabato,+ tukauze nafaka; ili kuifanya efa kuwa ndogo+ na kuifanya shekeli kuwa kubwa na kuipotosha mizani ya udanganyifu;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki