Mambo ya Walawi 19:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 “‘Msikose kufanya haki katika kuhukumu,+ katika kupima, katika kupima uzito+ au katika kupima vitu vya majimaji. Methali 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mizani ya udanganyifu ni chukizo kwa Yehova,+ lakini jiwe kamili la mizani ni furaha kwake. Amosi 8:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 mkisema, ‘Mwezi mpya utapita wakati gani,+ tukauze nafaka?+ Pia sabato,+ tukauze nafaka; ili kuifanya efa kuwa ndogo+ na kuifanya shekeli kuwa kubwa na kuipotosha mizani ya udanganyifu;+
35 “‘Msikose kufanya haki katika kuhukumu,+ katika kupima, katika kupima uzito+ au katika kupima vitu vya majimaji.
5 mkisema, ‘Mwezi mpya utapita wakati gani,+ tukauze nafaka?+ Pia sabato,+ tukauze nafaka; ili kuifanya efa kuwa ndogo+ na kuifanya shekeli kuwa kubwa na kuipotosha mizani ya udanganyifu;+