Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 19:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Mtakuwa na mizani sahihi, vipimo sahihi,+ kipimo sahihi cha efa na kipimo sahihi cha hini. Mimi ni Yehova Mungu wenu, ambaye nimewatoa ninyi katika nchi ya Misri.

  • Kumbukumbu la Torati 25:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Utaendelea kuwa na kipimo cha uzito kilicho sahihi na cha haki. Utaendelea kuwa na kipimo cha efa kilicho sahihi na cha haki, ili siku zako ziwe ndefu kwenye nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe.+

  • Methali 20:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Aina mbili za mawe ya mizani na aina mbili za vipimo vya efa+—vyote viwili ni chukizo kwa Yehova.+

  • Ezekieli 45:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 ‘Mnapaswa kuwa na mizani sahihi na efa sahihi na kipimo sahihi cha bathi.+

  • Amosi 8:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 mkisema, ‘Mwezi mpya utapita wakati gani,+ tukauze nafaka?+ Pia sabato,+ tukauze nafaka; ili kuifanya efa kuwa ndogo+ na kuifanya shekeli kuwa kubwa na kuipotosha mizani ya udanganyifu;+

  • Mika 6:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Je, bado kuna hazina za uovu katika nyumba ya mwovu,+ na kipimo cha efa kilichobanwa ambacho kimeshutumiwa?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki