36 Mtakuwa na mizani sahihi, vipimo sahihi,+ kipimo sahihi cha efa na kipimo sahihi cha hini. Mimi ni Yehova Mungu wenu, ambaye nimewatoa ninyi katika nchi ya Misri.
15 Utaendelea kuwa na kipimo cha uzito kilicho sahihi na cha haki. Utaendelea kuwa na kipimo cha efa kilicho sahihi na cha haki, ili siku zako ziwe ndefu kwenye nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe.+
5 mkisema, ‘Mwezi mpya utapita wakati gani,+ tukauze nafaka?+ Pia sabato,+ tukauze nafaka; ili kuifanya efa kuwa ndogo+ na kuifanya shekeli kuwa kubwa na kuipotosha mizani ya udanganyifu;+