Methali 16:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kitu cha kupimia cha haki na mizani ni vya Yehova;+ mawe yote ya mizani ya mfuko ni kazi yake.+ Amosi 8:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 mkisema, ‘Mwezi mpya utapita wakati gani,+ tukauze nafaka?+ Pia sabato,+ tukauze nafaka; ili kuifanya efa kuwa ndogo+ na kuifanya shekeli kuwa kubwa na kuipotosha mizani ya udanganyifu;+ Mika 6:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Je, naweza kuwa safi kiadili nikiwa na mizani ya uovu pamoja na mfuko wa mawe ya mizani ya udanganyifu?+
5 mkisema, ‘Mwezi mpya utapita wakati gani,+ tukauze nafaka?+ Pia sabato,+ tukauze nafaka; ili kuifanya efa kuwa ndogo+ na kuifanya shekeli kuwa kubwa na kuipotosha mizani ya udanganyifu;+
11 Je, naweza kuwa safi kiadili nikiwa na mizani ya uovu pamoja na mfuko wa mawe ya mizani ya udanganyifu?+