Kumbukumbu la Torati 25:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Hupaswi kuwa na aina mbili za mawe ya mizani katika mfuko wako,+ kubwa na dogo. Methali 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mizani ya udanganyifu ni chukizo kwa Yehova,+ lakini jiwe kamili la mizani ni furaha kwake. Methali 20:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Aina mbili za mawe ya mizani na aina mbili za vipimo vya efa+—vyote viwili ni chukizo kwa Yehova.+ Hosea 12:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mfanya-biashara ana mizani ya udanganyifu mkononi mwake;+ amependa kupunja.+
10 Aina mbili za mawe ya mizani na aina mbili za vipimo vya efa+—vyote viwili ni chukizo kwa Yehova.+