Methali 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mizani ya udanganyifu ni chukizo kwa Yehova,+ lakini jiwe kamili la mizani ni furaha kwake. Methali 16:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kitu cha kupimia cha haki na mizani ni vya Yehova;+ mawe yote ya mizani ya mfuko ni kazi yake.+ Methali 20:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Aina mbili za mawe ya mizani na aina mbili za vipimo vya efa+—vyote viwili ni chukizo kwa Yehova.+ Mika 6:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Je, naweza kuwa safi kiadili nikiwa na mizani ya uovu pamoja na mfuko wa mawe ya mizani ya udanganyifu?+
10 Aina mbili za mawe ya mizani na aina mbili za vipimo vya efa+—vyote viwili ni chukizo kwa Yehova.+
11 Je, naweza kuwa safi kiadili nikiwa na mizani ya uovu pamoja na mfuko wa mawe ya mizani ya udanganyifu?+