Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 19:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Mtakuwa na mizani sahihi, vipimo sahihi,+ kipimo sahihi cha efa na kipimo sahihi cha hini. Mimi ni Yehova Mungu wenu, ambaye nimewatoa ninyi katika nchi ya Misri.

  • Methali 11:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Mizani ya udanganyifu ni chukizo kwa Yehova,+ lakini jiwe kamili la mizani ni furaha kwake.

  • Methali 16:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kitu cha kupimia cha haki na mizani ni vya Yehova;+ mawe yote ya mizani ya mfuko ni kazi yake.+

  • Methali 20:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Aina mbili za mawe ya mizani na aina mbili za vipimo vya efa+—vyote viwili ni chukizo kwa Yehova.+

  • Amosi 8:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 mkisema, ‘Mwezi mpya utapita wakati gani,+ tukauze nafaka?+ Pia sabato,+ tukauze nafaka; ili kuifanya efa kuwa ndogo+ na kuifanya shekeli kuwa kubwa na kuipotosha mizani ya udanganyifu;+

  • Mika 6:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Je, naweza kuwa safi kiadili nikiwa na mizani ya uovu pamoja na mfuko wa mawe ya mizani ya udanganyifu?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki