7 Nami nitalivunja shauri la Yuda na la Yerusalemu mahali hapa,+ nami nitawaangusha kwa upanga mbele ya adui zao na kwa mkono wa wale wanaoitafuta nafsi yao.+ Na maiti zao nitazitoa ziwe chakula kwa viumbe vinavyoruka vya mbinguni na kwa wanyama wa dunia.+