Yeremia 27:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Kwa maana Yehova wa majeshi amesema hivi kuhusu zile nguzo+ na kuhusu ile bahari+ na kuhusu yale mabehewa+ na kuhusu yale mabaki ya vyombo ambavyo vimebaki katika jiji hili,+
19 “Kwa maana Yehova wa majeshi amesema hivi kuhusu zile nguzo+ na kuhusu ile bahari+ na kuhusu yale mabehewa+ na kuhusu yale mabaki ya vyombo ambavyo vimebaki katika jiji hili,+