Yeremia 37:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini Yeremia akasema: “Ni uwongo!+ Mimi sikimbii kwenda kwa Wakaldayo.” Lakini yeye hakumsikiliza. Basi Iriya akaendelea kumshika Yeremia na kumleta kwa wakuu.
14 Lakini Yeremia akasema: “Ni uwongo!+ Mimi sikimbii kwenda kwa Wakaldayo.” Lakini yeye hakumsikiliza. Basi Iriya akaendelea kumshika Yeremia na kumleta kwa wakuu.