Zaburi 27:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Usinitie mikononi mwa nafsi ya wapinzani wangu;+Kwa maana dhidi yangu wamesimama mashahidi wa uwongo,+Na yeye anayetokeza jeuri.+ Zaburi 35:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mashahidi wenye jeuri husimama;+Huniuliza mambo nisiyojua.+
12 Usinitie mikononi mwa nafsi ya wapinzani wangu;+Kwa maana dhidi yangu wamesimama mashahidi wa uwongo,+Na yeye anayetokeza jeuri.+