Yeremia 41:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini palikuwa na watu kumi kati yao ambao walimwambia Ishmaeli mara moja: “Usituue, kwa maana sisi tuna hazina zilizofichwa shambani, ngano na shayiri na mafuta na asali.”+ Kwa hiyo akajiepusha, naye hakuwaua katikati ya ndugu zao.
8 Lakini palikuwa na watu kumi kati yao ambao walimwambia Ishmaeli mara moja: “Usituue, kwa maana sisi tuna hazina zilizofichwa shambani, ngano na shayiri na mafuta na asali.”+ Kwa hiyo akajiepusha, naye hakuwaua katikati ya ndugu zao.