Yeremia 42:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nao wakamwambia Yeremia: “Yehova na awe shahidi wa kweli na mwaminifu juu yetu+ ikiwa hatutafanya sawasawa kulingana na kila neno ambalo Yehova Mungu wako atakutuma kwetu.+
5 Nao wakamwambia Yeremia: “Yehova na awe shahidi wa kweli na mwaminifu juu yetu+ ikiwa hatutafanya sawasawa kulingana na kila neno ambalo Yehova Mungu wako atakutuma kwetu.+