Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 11:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ndipo wanaume wazee wa Gileadi wakamwambia Yeftha: “Yehova na awe msikilizaji kati yetu+ ikiwa hatutafanya kulingana na neno lako.”+

  • 1 Samweli 12:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Basi akawaambia: “Yehova ni shahidi dhidi yenu, na mtiwa-mafuta+ wake ni shahidi leo kwamba hamkupata chochote mkononi mwangu.”+ Nao wakasema: “Yeye ni shahidi.”

  • Mika 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Sikieni, enyi vikundi vya watu, ninyi nyote; kazeni uangalifu, Ee dunia na vyote vinavyokujaza,+ naye Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova na awe shahidi juu yenu,+ Yehova katika hekalu lake takatifu.+

  • Malaki 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Nami nitawakaribia ninyi ili kuhukumu,+ nami nitakuwa shahidi wa haraka+ juu ya walozi,+ na juu ya wazinzi,+ na juu ya wale wanaoapa kwa uwongo,+ na juu ya wale wanaoupunja mshahara wa mfanyakazi,+ na mjane+ na mvulana asiye na baba,+ na wale wanaomfukuza mkaaji mgeni,+ wala hawakuniogopa mimi,”+ Yehova wa majeshi amesema.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki