-
Yeremia 42:18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
18 “Kwa maana Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi, ‘Kama hasira yangu na ghadhabu yangu zilivyomwagwa juu ya wakaaji wa Yerusalemu,+ ndivyo ghadhabu yangu itakavyomwagwa juu yenu kwa sababu ya ninyi kuingia Misri, na hakika mtakuwa laana na kitu cha kushangaza na tukano na shutuma,+ nanyi hamtapaona mahali hapa tena.’+
-