Yeremia 46:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa nini watu wako wenye nguvu wamefagiliwa mbali?+ Hawakusimama, kwa maana Yehova mwenyewe amewasukumia mbali.+
15 Kwa nini watu wako wenye nguvu wamefagiliwa mbali?+ Hawakusimama, kwa maana Yehova mwenyewe amewasukumia mbali.+