Zaburi 18:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Naye akaendelea kuitupa mishale yake, ili awatawanye;+Naye akatupa umeme, ili awavuruge.+ Zaburi 44:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wewe mwenyewe kwa mkono wako uliwafukuzia mbali mataifa,+Nawe ukawapanda hao badala yao.+Ukavunja vikundi vya mataifa na kuwafukuza.+ Zaburi 68:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kama vile moshi unavyofukuziwa mbali, na uwafukuzie mbali vivyo hivyo;+Kama vile nta inavyoyeyuka kwa sababu ya moto,+Waovu na waangamie vivyo hivyo kutoka mbele za Mungu.+
2 Wewe mwenyewe kwa mkono wako uliwafukuzia mbali mataifa,+Nawe ukawapanda hao badala yao.+Ukavunja vikundi vya mataifa na kuwafukuza.+
2 Kama vile moshi unavyofukuziwa mbali, na uwafukuzie mbali vivyo hivyo;+Kama vile nta inavyoyeyuka kwa sababu ya moto,+Waovu na waangamie vivyo hivyo kutoka mbele za Mungu.+