Kutoka 15:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ulipuliza kwa pumzi yako,+ bahari ikawafunika;+Walizama kama risasi katika maji makuu.+ Waamuzi 5:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mto wa Kishoni ukawafagilia mbali,+Mto wa siku za kale, mto wa Kishoni.+Wewe ulikanyagia chini nguvu,+ ewe nafsi yangu. Zaburi 18:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kamba za kifo zilinizunguka;+Mafuriko ya ghafula ya watu wasiofaa kitu pia yaliendelea kuniogopesha.+
21 Mto wa Kishoni ukawafagilia mbali,+Mto wa siku za kale, mto wa Kishoni.+Wewe ulikanyagia chini nguvu,+ ewe nafsi yangu.
4 Kamba za kifo zilinizunguka;+Mafuriko ya ghafula ya watu wasiofaa kitu pia yaliendelea kuniogopesha.+