Yeremia 48:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Simama tuli na kuiangalia njia, Ee mwanamke mkaaji wa Aroeri.+ Muulize yeye anayekimbia na yeye anayeponyoka. Sema, ‘Kumetokea nini?’+
19 “Simama tuli na kuiangalia njia, Ee mwanamke mkaaji wa Aroeri.+ Muulize yeye anayekimbia na yeye anayeponyoka. Sema, ‘Kumetokea nini?’+