15 “Mwana wa binadamu, kuhusu ndugu zako,+ ndugu zako, wanaume wanaohangaikia haki yako ya kukomboa, na nyumba yote ya Israeli, yote kabisa, ndio ambao wakaaji wa Yerusalemu wamewaambia, ‘Nendeni mbali kutoka kwa Yehova. Ni yetu; tumepewa nchi tuimiliki’;+