Ezekieli 33:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “Mwana wa binadamu, wakaaji wa mahali hapa palipoharibiwa+ wanasema hata juu ya udongo wa Israeli, ‘Abrahamu alikuwa mmoja tu, hata hivyo aliitwaa nchi hii.+ Na sisi ni wengi; tumepewa nchi hii iwe mali yetu.’+
24 “Mwana wa binadamu, wakaaji wa mahali hapa palipoharibiwa+ wanasema hata juu ya udongo wa Israeli, ‘Abrahamu alikuwa mmoja tu, hata hivyo aliitwaa nchi hii.+ Na sisi ni wengi; tumepewa nchi hii iwe mali yetu.’+