7 Ndipo Yehova akamtokea Abramu na kusema: “Nitaupa uzao wako+ nchi hii.”+ Baada ya hayo akajenga madhabahu huko kwa ajili ya Yehova, aliyekuwa amemtokea.
2 Mwangalieni Abrahamu+ baba yenu+ na Sara+ ambaye hatua kwa hatua aliwazaa ninyi kwa uchungu wa kuzaa mtoto. Kwa maana alikuwa mmoja nilipomwita,+ nami nikambariki na kumfanya kuwa wengi.+
5 Na bado hakumpa urithi wowote ndani yake, hapana, hata upana wa wayo mmoja wa mguu;+ bali aliahidi kumpa hiyo kuwa miliki,+ na uzao wake baada yake,+ alipokuwa bado hana mtoto.+