3 “‘Baada ya muda nikamchukua Abrahamu+ babu yenu kutoka ng’ambo ile nyingine ya Mto,+ nikamtembeza katika nchi yote ya Kanaani na kuufanya uzao wake kuwa mwingi.+ Basi nikampa Isaka.+
11 Lakini ninawaambia ninyi kwamba wengi kutoka sehemu za mashariki na sehemu za magharibi+ watakuja na kuketi kwenye meza pamoja na Abrahamu na Isaka na Yakobo katika ufalme+ wa mbinguni;+
19 Na, ijapokuwa hakudhoofika katika imani, alifikiria juu ya mwili wake mwenyewe, ukiwa sasa tayari umekufa,+ kwa kuwa alikuwa mwenye umri wa karibu miaka mia moja,+ pia hali ya kufa ya tumbo la uzazi la Sara.+