12Naye Yehova akamwambia Abramu: “Nenda zako kutoka katika nchi yako na kutoka kwa watu wa jamaa yako na kutoka kwa nyumba ya baba yako mpaka katika nchi ambayo nitakuonyesha;+
2 Ndipo Abramu akasema: “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, utanipa nini, kwa sababu mimi naenda zangu bila mtoto na yule atakayeirithi nyumba yangu ni Eliezeri,+ mtu wa Damasko?”
24 “Mwana wa binadamu, wakaaji wa mahali hapa palipoharibiwa+ wanasema hata juu ya udongo wa Israeli, ‘Abrahamu alikuwa mmoja tu, hata hivyo aliitwaa nchi hii.+ Na sisi ni wengi; tumepewa nchi hii iwe mali yetu.’+