Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Naye Yehova akamwambia Abramu: “Nenda zako kutoka katika nchi yako na kutoka kwa watu wa jamaa yako na kutoka kwa nyumba ya baba yako mpaka katika nchi ambayo nitakuonyesha;+

  • Mwanzo 15:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ndipo Abramu akasema: “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, utanipa nini, kwa sababu mimi naenda zangu bila mtoto na yule atakayeirithi nyumba yangu ni Eliezeri,+ mtu wa Damasko?”

  • Nehemia 9:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Wewe ndiye Yehova Mungu wa kweli, uliyemchagua Abramu+ na kumleta kutoka Uru la Wakaldayo+ na kulifanya jina lake kuwa Abrahamu.+

  • Ezekieli 33:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 “Mwana wa binadamu, wakaaji wa mahali hapa palipoharibiwa+ wanasema hata juu ya udongo wa Israeli, ‘Abrahamu alikuwa mmoja tu, hata hivyo aliitwaa nchi hii.+ Na sisi ni wengi; tumepewa nchi hii iwe mali yetu.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki