- 
	                        
            
            Ezekieli 36:4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        4 kwa hiyo, enyi milima ya Israeli,+ lisikieni neno la Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Ni hivi Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova ameambia milima na vilima, vijito na mabonde na mahali palipoharibiwa+ na kufanywa ukiwa na majiji yaliyoachwa ambayo yameporwa na kudhihakiwa na mabaki ya mataifa yanayozunguka pande zote;+ 
 
-