16 kwa hiyo sema, ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema: “Ijapokuwa nimewaweka mbali kabisa katikati ya mataifa, na ijapokuwa nimewatawanya katikati ya nchi+ hizo, hata hivyo nitakuwa patakatifu kwao kwa kitambo kidogo katikati ya nchi ambazo wameenda.” ’+