Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 31:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Utawaficha katika mahali pa siri pa uso wako+

      Mbali na ukusanyikaji pamoja wa watu.+

      Utawaficha katika kibanda chako mbali na kugombana kwa ndimi.+

  • Zaburi 90:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 90 Ee Yehova, wewe mwenyewe umekuwa makao yetu halisi+

      Kwa kizazi baada ya kizazi.+

  • Zaburi 91:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Kwa sababu ulisema: “Yehova ni kimbilio langu,”+

      Umemfanya Aliye Juu Zaidi awe makao yako;+

  • Methali 18:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Jina la Yehova ni mnara wenye nguvu.+ Mwadilifu hukimbilia humo na kupewa ulinzi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki