Zaburi 31:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Utawaficha katika mahali pa siri pa uso wako+Mbali na ukusanyikaji pamoja wa watu.+Utawaficha katika kibanda chako mbali na kugombana kwa ndimi.+ Zaburi 90:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 90 Ee Yehova, wewe mwenyewe umekuwa makao yetu halisi+Kwa kizazi baada ya kizazi.+ Zaburi 91:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa sababu ulisema: “Yehova ni kimbilio langu,”+Umemfanya Aliye Juu Zaidi awe makao yako;+ Methali 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Jina la Yehova ni mnara wenye nguvu.+ Mwadilifu hukimbilia humo na kupewa ulinzi.+
20 Utawaficha katika mahali pa siri pa uso wako+Mbali na ukusanyikaji pamoja wa watu.+Utawaficha katika kibanda chako mbali na kugombana kwa ndimi.+
9 Kwa sababu ulisema: “Yehova ni kimbilio langu,”+Umemfanya Aliye Juu Zaidi awe makao yako;+ Methali 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Jina la Yehova ni mnara wenye nguvu.+ Mwadilifu hukimbilia humo na kupewa ulinzi.+