Ezekieli 20:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 kwa sababu walikataa maamuzi yangu mwenyewe ya hukumu; nazo sheria zangu, hawakutembea katika hizo, nazo sabato zangu walizitia unajisi, kwa sababu moyo wao ulikuwa ukifuatilia sanamu zao za mavi.+
16 kwa sababu walikataa maamuzi yangu mwenyewe ya hukumu; nazo sheria zangu, hawakutembea katika hizo, nazo sabato zangu walizitia unajisi, kwa sababu moyo wao ulikuwa ukifuatilia sanamu zao za mavi.+