Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 32:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kisha akaichukua dhahabu hiyo toka mikononi mwao, naye akaifanya+ kwa kifaa cha kuchongea na kuifanya kuwa sanamu ya kuyeyushwa ya ndama.+ Nao wakaanza kusema: “Huyu ndiye Mungu wako, Ee Israeli, aliyekuongoza kutoka nchi ya Misri.”+

  • Hesabu 15:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 ‘Nao utakuwa upindo wenye nyuzinyuzi kwa ajili yenu, nanyi mtauona na kukumbuka amri+ zote za Yehova na kuzishika, wala hamtaifuata mioyo yenu na macho yenu,+ ambayo mnayafuata katika uasherati.+

  • Hesabu 25:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na wanawake hao wakaja kuwaita watu waende kwenye dhabihu za miungu yao,+ nao watu wakaanza kula na kuinamia miungu yao.+

  • 1 Wafalme 21:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Naye akatenda kwa njia yenye kuchukiza sana kwa kufuata sanamu za mavi,+ kama yale yote ambayo Waamori walikuwa wametenda, ambao Yehova aliwafukuza kutoka mbele ya wana wa Israeli.’”+

  • Ezekieli 14:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Basi sema nao, nawe utawaambia, ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema: “Mtu yeyote wa nyumba ya Israeli anayeleta sanamu zake za mavi+ juu ya moyo wake na ambaye anaweka kikwazo kinachosababisha kosa lake mbele ya uso wake na kumwendea nabii, mimi, Yehova, nitakubali kuletwa ili nimjibu katika habari hiyo kulingana na wingi wa sanamu zake za mavi,+

  • Matendo 7:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Kwa hiyo Mungu akageuka na kuwakabidhi+ watoe utumishi mtakatifu kwa jeshi la mbinguni, kama vile ambavyo imeandikwa katika kitabu cha manabii,+ ‘Je, mimi ndiye mliyetolea wanyama na dhabihu nyikani kwa miaka 40, Ee nyumba ya Israeli?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki