Ezekieli 20:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 “ ‘Kama ninavyoishi,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘nitatawala nikiwa mfalme juu yenu kwa mkono wenye nguvu na kwa mkono ulionyooshwa+ na kwa ghadhabu iliyomwagwa.+
33 “ ‘Kama ninavyoishi,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘nitatawala nikiwa mfalme juu yenu kwa mkono wenye nguvu na kwa mkono ulionyooshwa+ na kwa ghadhabu iliyomwagwa.+