Ezekieli 20:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 “ ‘Kama vile nilivyojiweka mwenyewe katika hukumu pamoja na mababu zenu katika nyika ya nchi ya Misri,+ ndivyo nitakavyojiweka mwenyewe katika hukumu pamoja nanyi,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.
36 “ ‘Kama vile nilivyojiweka mwenyewe katika hukumu pamoja na mababu zenu katika nyika ya nchi ya Misri,+ ndivyo nitakavyojiweka mwenyewe katika hukumu pamoja nanyi,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.