Ezekieli 33:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 naye mwovu arudishe kitu kile kilichowekwa rehani,+ alipe vitu vile vilivyochukuliwa kwa unyang’anyi,+ naye kwa kweli atembee katika sheria za uzima kwa kutotenda ukosefu wa haki,+ hakika ataendelea kuishi.+ Yeye hatakufa. Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 33:15 Mnara wa Mlinzi,9/15/1988, kur. 22-23
15 naye mwovu arudishe kitu kile kilichowekwa rehani,+ alipe vitu vile vilivyochukuliwa kwa unyang’anyi,+ naye kwa kweli atembee katika sheria za uzima kwa kutotenda ukosefu wa haki,+ hakika ataendelea kuishi.+ Yeye hatakufa.