Ezekieli 40:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Na katika ukumbi wa lango palikuwa na meza mbili upande huu na meza mbili upande ule, za kuchinjia juu yake lile toleo zima la kuteketezwa+ na lile toleo la dhambi+ na lile toleo la hatia.+
39 Na katika ukumbi wa lango palikuwa na meza mbili upande huu na meza mbili upande ule, za kuchinjia juu yake lile toleo zima la kuteketezwa+ na lile toleo la dhambi+ na lile toleo la hatia.+