Ezekieli 40:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Kulikuwa na meza mbili kila upande wa ukumbi wa lango ambapo wanyama wa dhabihu nzima za kuteketezwa walichinjiwa,+ na wa dhabihu za dhambi,+ na wa dhabihu za hatia.+
39 Kulikuwa na meza mbili kila upande wa ukumbi wa lango ambapo wanyama wa dhabihu nzima za kuteketezwa walichinjiwa,+ na wa dhabihu za dhambi,+ na wa dhabihu za hatia.+