Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “‘Ikiwa anatoa dhabihu ya kuteketezwa kutoka kati ya mifugo yake, anapaswa kutoa mnyama dume asiye na kasoro.+ Atamtoa kwa hiari yake mwenyewe+ mbele za Yehova kwenye mlango wa hema la mkutano.

  • Mambo ya Walawi 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Mnyama huyo wa dhabihu ya kuteketezwa anapaswa kuchunwa ngozi na kukatwa vipandevipande.+

  • Mambo ya Walawi 8:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Akamkata kondoo huyo vipandevipande, akateketeza kichwa, vipande alivyokata, na mafuta yaliyo kwenye figo, ili vifuke moshi.

  • Ezekieli 43:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kisha akaniambia: “Mwana wa binadamu, Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Hii ndiyo miongozo ya kufuata madhabahu inapotengenezwa, ili dhabihu nzima za kuteketezwa zitolewe na damu inyunyizwe juu yake.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki