3 “‘Ikiwa toleo lake ni toleo la kuteketezwa+ kutoka katika mifugo, atamtoa dume, asiye na kasoro.+ Atamtoa kwenye mwingilio wa hema la mkutano kwa hiari yake mwenyewe mbele za Yehova.+
18 Naye akaniambia: “Mwana wa binadamu, Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Hizi ndizo sheria za madhabahu katika siku ile ya kuifanya, ili kutoa juu yake matoleo mazima ya kuteketezwa+ na kunyunyiza damu juu yake.’+