Ezekieli 43:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “ ‘Nawe utawapa makuhani Walawi,+ ambao ni uzao wa Sadoki,+ wale wanaonikaribia mimi,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘ili kunihudumia, ng’ombe-dume mchanga, mwana wa mifugo, awe toleo la dhambi.+
19 “ ‘Nawe utawapa makuhani Walawi,+ ambao ni uzao wa Sadoki,+ wale wanaonikaribia mimi,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘ili kunihudumia, ng’ombe-dume mchanga, mwana wa mifugo, awe toleo la dhambi.+