18 “Na kitakachobaki katika urefu kitalingana kabisa na mchango mtakatifu,+ mikono 10,000 upande wa mashariki, na 10,000 upande wa magharibi; napo patalingana kabisa na mchango mtakatifu, na mazao yake yatakuwa kwa ajili ya mkate wa wale wanaotumikia jiji.+