Ezekieli 45:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 “ ‘Na wakati ninyi mtakapoigawa nchi iwe urithi,+ mtamtolea Yehova mchango,+ fungu takatifu kutoka katika nchi;+ urefu wake utakuwa mikono 25,000, nao upana wake 10,000.+ Litakuwa fungu takatifu katika mipaka yake yote kuzunguka pande zote.
45 “ ‘Na wakati ninyi mtakapoigawa nchi iwe urithi,+ mtamtolea Yehova mchango,+ fungu takatifu kutoka katika nchi;+ urefu wake utakuwa mikono 25,000, nao upana wake 10,000.+ Litakuwa fungu takatifu katika mipaka yake yote kuzunguka pande zote.