Ezekieli 48:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 “Hii itakuwa nchi ambayo mtafanya iangukie makabila ya Israeli kwa kura iwe urithi,+ na hayo yatakuwa mafungu yao,”+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.
29 “Hii itakuwa nchi ambayo mtafanya iangukie makabila ya Israeli kwa kura iwe urithi,+ na hayo yatakuwa mafungu yao,”+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.