Danieli 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ndipo Nebukadneza, akiwa na ghadhabu na hasira,+ akasema Shadraki, Meshaki na Abednego waletwe ndani.+ Basi wanaume hao wakaletwa mbele ya mfalme.
13 Ndipo Nebukadneza, akiwa na ghadhabu na hasira,+ akasema Shadraki, Meshaki na Abednego waletwe ndani.+ Basi wanaume hao wakaletwa mbele ya mfalme.